Wanaume tuachieni 'wapenzi wenu' tuimarike mtanufaika – Gertrude Mongella
Wanaume tuachieni 'wapenzi wenu' tuimarike mtanufaika – Gertrude Mongella
Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, CSW69 unafikia tamati hii leo Machi 21 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani, CSW69 unafikia tamati hii leo Machi 21 hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.
Bi. Gertrude Mongella, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Mkutano wa 4 wa Kimataifa wa wanawake maarufu kama Mkutano wa Beijing uliofanyika mnamo mwaka 1995, pamoja na umri wake mkubwa ameshiriki karibia vikao vyote vya mkutano huu wa CSW69 ambao pia ulikuwa unaangazia utekelezaji wa maazimio yaliyowekwa miaka 30 iliyopita chini yake mama Mongella.
Anold Kayanda amemuuliza swali hili la kichokozi
Mazungumzo zaidi kati ya Anold Kayanda na Mama Gertrude Mongella yatakujia katika vipindi vyetu vijavyo hivi karibuni.