
Kauli za chuki ni hatari kwa kila mtu: Guterres
UNESCO inasema kauli za chuki zinaongezeka duniani kote
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kauli za chuki ni hatari kwa watu wote na kila mtu anao wajibu wakuzuia kauli hizo katika jamii.