UNSMIL ya Libya yaongezewa miezi mitatu zaidi
UNSMIL ya Libya yaongezewa miezi mitatu zaidi
Amani na Usalama
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo kwa kauli moja limepitisha azimio la kuongeza muda wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa usaidizi nchini Libya, UNSMIL hadi tarehe 30 mwezi huu wa Aprili.