Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNSMIL ya Libya yaongezewa miezi mitatu zaidi

Maandishi kwenye ukuta wa jengo moja huko Benghazi nchini Libya yakipazi asauti uchaguzi na demokrasia.
UNSMIL
Maandishi kwenye ukuta wa jengo moja huko Benghazi nchini Libya yakipazi asauti uchaguzi na demokrasia.

UNSMIL ya Libya yaongezewa miezi mitatu zaidi

Amani na Usalama

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo kwa kauli moja limepitisha azimio la kuongeza muda wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa usaidizi nchini Libya, UNSMIL hadi tarehe 30 mwezi huu wa Aprili.