Tushughulikie kiini cha udhalilishaji wa kijinsia: Guterres

Wanawake vijana waelezea hisia zao kuhusu ukatili wa kijinsia.
Katika kuelekea siku ya kimataifa ya kupinga ukatili wa kijinsia katika maeneo yenye mizozo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antoni Guterres amdewataka waokozi kuzingatia hali na mahitaji ya waathiriwa wa udhalilisha wakati wakiwa wanafanya kazi ya kuzuia na kumaliza kabisa janga hilo la udhalilishaji ambalo ni kosa la inai.