Skip to main content
Karibu Umoja wa Mataifa
Lugha
  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Nyingine
    • Hindi हिंदी
    • duniani
Umoja wa Mataifa
Habari za UN
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Search the United Nations

Tafuta Zaidi
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
 

Sajili

Kabrasha la Sauti

Picha ya upande wa Palestina wa Karem Shalom ambako bidhaa zinaingia na kutoka kati ya Israel na Gaza , ambapo sehemu iliteketezwa kwa moto na Wapalestina, na kuathiri uwezo wake wa kusafirisha baadhi ya bidhaa cha chakula ikiwemo pia mafuta ya dharura. 1
Picha na UN
Picha ya upande wa Palestina wa Karem Shalom ambako bidhaa zinaingia na kutoka kati ya Israel na Gaza , ambapo sehemu iliteketezwa kwa moto na Wapalestina, na kuathiri uwezo wake wa kusafirisha baadhi ya bidhaa cha chakula ikiwemo pia mafuta ya dharura. 1

UN yalaani mauaji ya mjamzito nchini Palestina

14 Juni 2021
Haki za binadamu

Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji ya mwanamke mjamzito mwenye umri wa miaka 19 aliyeuwawa na mume wake nchini Palestina, na kutoa wito vya vyombo vya usalama vya nchi hiyo kuhakikisha haki inatendeka
 

Kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari, Dr.Luay Shabaneh Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya atu duniani- UNFPA kwa nchi za kiarabu amesema, “ aina hii ya uhalifu mbayá haikubaliki tena. Natoa wito kwa mamlaka kutoa ulinzi na msaada kwa wasichana na wanawake wote kutoka kwa aina zote za unyanyasaji wa kijinsia na mazoea mabaya”

Polisi nchini humo tayari wamemkamata mume wa marehemu, akituhumiwa kumshambulia vikali na kusababisha kifo chake.

“UNFPA inaunga mkono mamlaka, jamii na wanaharakati wanaopinga ukatili wa kijinsia na wanaovunja haki za wanawake. Tunataka uchughuzi wa haraka ufanyike kuhusiana na mauaji, haya na vyombo vya usalama wahakikishe wanasimamia sheria za kuwalinda wanawake na watoto katika kutekeleza makubaliano ya ya kuondoa aina zote za ubaguzi dhidi ya wanawake na mitakaba mingine ya kimataifa.”

Udhalilishaji wa kijinsia, ukatili majumbani, ni ukiukwaji wa haki za binadamu kwa wanawake na wasichana. Vitendo hivyo vya unyanyasaji vinaongeza na kuimarisha ubaguzi dhidi ya wanawake na wasichana na kuendeleza mzunguko mbaya ambao ni hatari kwa maendeleo yao na ufanisi. 

 

♦ Kupata takwimu za waathirika vitani Ukraine bofya  hapa.
♦ Iwapo ungependa kupokea taarifa kutoka UN News Kiswahili kila wakati zinapochapishwa jisajili  hapa.
♦ Pia unaweza kupakua apu ili kusikiliza matangazo yetu wakati wowote popote ulipo.
♦ Tembelea pia chaneli yetu ya Youtube na pia Soundcloud na Twitter
ukatili wa kijinsia|haki za binadamu

Taarifa Zihusianazo

Mjini Mexico City sanaa zikiwakilisha wanawake , kwa kusisitiza ukubwa wa janga la mauaji ya kijinsia (femicidal) March 2018

Hakuna mwanamke anayestahili kuuawa kwasababu ya jinsia yake:UN-EU

Wanawake vijana waelezea hisia zao kuhusu ukatili wa kijinsia.

Tushughulikie kiini cha udhalilishaji wa kijinsia: Guterres

Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu UNFPA limezindua kampeni ya hakimiliki ya mwili kwa lengo la kuelimisha juu ya ukatili wa kijinsia mtandaoni hususan dhidi ya wanawake na wasichana na kutaka hatua zichukuliwe kuukomesha

Hakimiliki ya mwili wa mwanamke ipewe uzito mtandaoni kama haki miliki zingine:UNFPA 

Maktaba

  • Taarifa kwa watangazaji
  • Viunganishi vya Umoja wa Mataifa
  • Angalizo
  • UN Journal
  • Taarifa za Habari
  • Mikutano
  • Maktaba ya Picha na Video
  • Wasiliana nasi

Katibu Mkuu

  • Taarifa zote
  • Safari za kiofisi
  • Kona ya wanahabari
  • Kutoka Twitter ya Katibu Mkuu

Msemaji wa UN

  • Nyaraka zote
  • Muhtasari wa mkutano na wanahabari
  • Maandishi ya mkutano na wanahabari
  • Taarifa kwa wanahabari

Tupate

  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • RSS
  • Mawasiliano
  • Rambaza
  • Washirika wetu kwa sasa
Umoja wa Mataifa
Changia
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • Soundcloud
  • Podcast
  • UN Social Media
  • A-Z Site Index
  • Hakimiliki
  • Maswali ya mara kwa Mara
  • Fraud Alert
  • Privacy Notice
  • Kanuni za matumizi
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • SoundCloud
  • Podcast
  • More Socials