Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Kenya imepiga hatua gani?
Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Kenya imepiga hatua gani?
Afya
Kuelekea siku ya malaria duniani Aprili 25, Grace Kaneiya akiwa Nairobi, Kenya amezungumza na Dkt. Dan James Otieno kutoka Shirika la afya ulimwenguni, WHO nchini Kenya katika programu ya malaria inayofanya kazi kwa pamoja na wizara ya afya nchini humo.
Kwanza Otieno anaanza kwa kuelezea Kenya ilipofika vita dhidi ya malaria.