Mkutano wa Kyoto wapitisha azimio kukabili tishio la uhalifu na kujikwamiua vyema na COVID-19
UN/DGC
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio GUterres akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa 14 wa kuhusu kuzuia uhalivu na haki ya jinai kupitia mtandao
Akizungumzawakatiwaufunguziwamkutanohuokwanjiayamtandaokutokamakaomakuuya Umoja waMataifamjini
New York MarekaniKatibuMkuuwa Umoja waMataifaAntonio Guterres ameelezea umuhimu wa mkutano huo kuhusu
uhalifu katikakukabiliananachangamotozinazojitokezawakatihuuwajanga la kimataifa la COVID-19.
"Kuzuiauhalifu, hakiyajinaina sheria vina jukumumuhimukatikakufufuatenamkatabawakijamiikatiyanchinawatu wake. Ajendayamkutanowa 14wauhalifuinalengamajibutunayohitajiilikuimarishakuzuiauhalifunahakiyajinaikatikamgogoro
wasasa. Hii ni pamoja na mikakati ya kuzuia uhalifu ili kuhimili maendeleo ya kijamii na kiuchumi, hatua jumuishi ili kuimarisha hatua jumuishiilikuimarishamifumoyahakiyajinai, nakufufuaushirikianowakimataifanamsaadawakiufundi
katikakuzuia nakushughulikiaainazote za uhalifu. ”
Kwa upande wake Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Vilkan Bozkir katika taarifa yake kwenye mkutano huo amesema“TusifanyemakosaaHatutafikiamalengoyaAjendaya 2030 yamaendeleoendelevuikiwahatutachukuahatuajuu
yautawalawasheria, kuzuiauhalifunahakiyajinai. "
Umoja wa Mataifa
Ghada Wally , Mkurugenzi mtendaji wa UNODC akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa 14 wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuzuia uhalifu na haki ya jinai
kuanziakuuzachanjo za bandia, kutumia wale ambaowamepotezauwezowakujimudukimaisha,nakuelekezafedha za
msaadakwingineko."
MakubalianoyaAzimio la Kyoto
Katika azimio la Kyoto lililopitishwa leo , serikali zimekubaliana hatua madhubuti za kusongesha juhudi za kushughulikia kuzuiauhalifu,
hakiyajinai, sheria naushirikianowakimataifa.
Umoja wa Mataifa
Wajumbe katika ufunguzi wa mkutano wa 14 wa Umoja wa Mataifa wa kuhusu kuzuia uhalifu na haki ya jinai mjini Kyoto Japan
Nchiwanachamazitasongeshaahadizaombelekatikakikao cha 30 cha tume ya kuzuia uhalifu na haki ya jinai kitakachofanyika huko Vienna mnamomweziMeimwakahuu.
Mkutanowa 14 wakuzuiauhalifunahakiyajinaiuliahirishwanauamuziwa baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kutoka tareheyakeyaawaliambayoilikuwaAprili 2020 kwasababuyajanga la kimataifa la COVID-19.