Utaifa na ubinafsi katika chanjo vinaathiri vita dhidi ya COVID-19: UN
Utaifa na ubinafsi katika chanjo vinaathiri vita dhidi ya COVID-19: UN
Haki za binadamu
Jopo la wataalam huru wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa leo wametoa ombi kwa wajumbe wa shirika la biashara duniani WTO kufikiria kuondoa masharti katika utengenezaji chanjo dhidi ya corona au COVID-19 kwa lengo la kutoa ulinzi kwa wale walio masikini kabisa duniani.