Skip to main content
Karibu Umoja wa Mataifa
Lugha
  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Nyingine
    • Hindi हिंदी
    • duniani
Umoja wa Mataifa
Habari za UN
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Search the United Nations

Tafuta Zaidi
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
 

Sajili

Kabrasha la Sauti

Mradi wa msichana mmoja baiskeli moja mradi wa shirika la kiraia la Msichana Initiative nchini Tanzania. Miradi kama hii inahitajika zaidi kwani bado mtoto wa kike anahitaji usaidizi
Photo: Msichana Initiative
Mradi wa msichana mmoja baiskeli moja mradi wa shirika la kiraia la Msichana Initiative nchini Tanzania. Miradi kama hii inahitajika zaidi kwani bado mtoto wa kike anahitaji usaidizi

Kwa kupiga namba 116 unaweza kuripoti unyanyasaji wa mtoto popote Tanzania 

Kwa kupiga namba 116 unaweza kuripoti unyanyasaji wa mtoto popote Tanzania 

Mradi wa msichana mmoja baiskeli moja mradi wa shirika la kiraia la Msichana Initiative nchini Tanzania. Miradi kama hii inahitajika zaidi kwani bado mtoto wa kike anahitaji usaidizi
Photo: Msichana Initiative
Mradi wa msichana mmoja baiskeli moja mradi wa shirika la kiraia la Msichana Initiative nchini Tanzania. Miradi kama hii inahitajika zaidi kwani bado mtoto wa kike anahitaji usaidizi
12 Oktoba 2020
Wanawake

Mradi wa huduma ya simu namba 116 inayotumiwa bure kutoa taarifa taarifa za matukio ya unyanyasaji kwa mtoto, mradi unaofadhiliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu UNFPA Tanzania unaendelea kuwa msaada wa kupambana na ukatili dhidi ya watoto nchini Tanzania.  

Michael Marwa ni Mkurugenzi wa huduma hiyo katika shirika la C-SEMA, wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike iliyoadhimishwa wilaya ya msalala, Segese, Shinyanga Tanzania, anaeleza namba hiyo inavyofanya kazi,“tunashirikiana kuendesha huduma ya simu kwa mtoto ambayo inatumia namba 116, namba hii inapatikana Tanzania nzima na hata Zanzibar na hii ni namba ambayo mtoto au mwanajamii anaweza akapiga simu kutoa taarifa inayohusu ukatili kwa mtoto au ukatili wa kijinsia kwamba kuna mtoto ambaye anafanyiwa unyanyasaji au ukatili wa kijinsia. ” 

Michael Marwa anasema takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa mkoa wa shinyanga ni moja ya maeneo yenye changamoto ya ndoa na mimba za utotoni ndio maana siku ya kimataifa ya mtoto wa kike nchini Tanzania imeadhimishwa katika halmashauri ya wilaya ya Msalala, Segese, mkoani Shinyanga, “changamoto kubwa ambayo inawahusu watoto wengi kwa ujumla ukiacha kuangalia wa kike na wa kiume ni ukatili wa utelekezwaji. Simu nyingi ambazo tunazipata kutoka ukanda huu ni simu ambazo watoto wametelekezwa kwa maana baba na mama wanaondoka au baba anaondoka bila kumpatia mtoto haki zake za msingi, haki ya elimu, haki ya afya, haki ya kwenda shule, haki ya malazi na vitu kama hivyo. Lakini maalumu sana au kesi zinazohusu watoto wa kike ni mimba za utotoni lakini pia zinafuatiwa na ndoa za utotoni na hii inasababisha watoto wengi kutokuendelea na shule hasa hasa shule ya sekondari ambapo tunajua kwamba shule ni mojawapo ya haki ya msingi ya maendeleo ya mtoto.” 

 

 

 

♦ Kupata takwimu za waathirika vitani Ukraine bofya  hapa.
♦ Iwapo ungependa kupokea taarifa kutoka UN News Kiswahili kila wakati zinapochapishwa jisajili  hapa.
♦ Pia unaweza kupakua apu ili kusikiliza matangazo yetu wakati wowote popote ulipo.
♦ Tembelea pia chaneli yetu ya Youtube na pia Soundcloud na Twitter
wasichana|C-SEMA|Siku za UN|Siku ya mtoto wa kike

SIKILIZA RADIO YA UMOJA WA MATAIFA

    Taarifa Zihusianazo

    Wanawake na wasichana nchini Tanzania ambao wako katika tishio la ukatili na ndoa za utotoni sasa wanaweza kupata msaada wanaouhitaji

    UNFPA inamuunga mkono Rais wa kwanza mwanamke Tanzania kusongesha usawa wa kijinsia 

    Mwanafunzi wa kike nchini Uganda akiwasiliana na wanafunzi wenzake

    Miaka 25 baada ya azimio la Beijing mafanikio yapo lakini watoto wengi wa kike hawazijui haki zao

    Kambini Dadaab

    Marekani yatoa msaada wa taulo za kike kusaidia elimu kwa wasichana Dadaab:UNHCR

    Maktaba

    • Taarifa kwa watangazaji
    • Viunganishi vya Umoja wa Mataifa
    • Angalizo
    • UN Journal
    • Taarifa za Habari
    • Mikutano
    • Maktaba ya Picha na Video
    • Wasiliana nasi

    Katibu Mkuu

    • Taarifa zote
    • Safari za kiofisi
    • Kona ya wanahabari
    • Kutoka Twitter ya Katibu Mkuu

    Msemaji wa UN

    • Nyaraka zote
    • Muhtasari wa mkutano na wanahabari
    • Maandishi ya mkutano na wanahabari
    • Taarifa kwa wanahabari

    Tupate

    • Facebook
    • Twitter
    • YouTube
    • RSS
    • Mawasiliano
    • Rambaza
    • Washirika wetu kwa sasa
    Umoja wa Mataifa
    Changia
    • Facebook
    • Twitter
    • YouTube
    • Soundcloud
    • Podcast
    • UN Social Media
    • A-Z Site Index
    • Hakimiliki
    • Maswali ya mara kwa Mara
    • Fraud Alert
    • Privacy Notice
    • Kanuni za matumizi
    • Facebook
    • Twitter
    • YouTube
    • SoundCloud
    • Podcast
    • More Socials