Kijana mtanzania avumbua kifaa kinachoweza kusambaza elimu mahali pasipo na walimu
Kijana mtanzania avumbua kifaa kinachoweza kusambaza elimu mahali pasipo na walimu
Ombeni kwa miaka kadhaa amekuwa akijihusisha na ufundi wa vifaa mbalimbali vya kielektroniki kabla ya kupata wazo la kuunda kifaa hiki ambacho anasema kinaweza kuwa na walimu wengi kwa wakati mmoja
Ombeni anasema anaanza kwa kuandaa maandishi kutoka vyanzo mbalimbali kisha anarekodi sauti za walimu wakifundisha mada za msingi za masomo kabla ya kuziingiza sauti hizo katika kifaa chake. Anapata wapi vifaa? Anaeleza?
Ukurasa kuhusu virusivyacorona & taarifa mpya
Wasomaji wanaweza kupata taarifa na muongozo kuhusu mlipuko wa virusi vya corona (2019-nCoV) kutoka Umoja wa Mataifa, Shirika la afya duniani na mashirika mengine ya UN hapa. Kwa habari mpya kila siku kutoka UN News, bofya hapa.Kijana huyu mbunifu anasema changamoto aliyonayo kwa sasa ni kuwa ili kuzalisha kwa wingi kifaa hiki kinachotumia betri za kawaida na kisichohitaji intaneti, atalazimika kwenda kiwandani lakini uwezo huo hana kwa sasa. Na sasa kwa mukhtasar hebu tuone kifaa hiki kinavyofanya kazi
Kwa kina zaidi kuhusu uvumbuzi wa Ombeni Sanga, endelea kufuatilia vipindi vyetu.