Skip to main content
Karibu Umoja wa Mataifa
Lugha
  • العربية
  • 中文
  • English
  • Français
  • Русский
  • Español
  • Português
  • Kiswahili
  • Nyingine
    • Hindi हिंदी
    • duniani
Umoja wa Mataifa
Habari za UN
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Search the United Nations

Tafuta Zaidi
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
  • Mwanzo
    • Afrika
    • Amerika
    • Asia Pasifiki
    • Mashariki ya Kati
    • Ulaya
  • Mada
    • Amani na Usalama
    • Ukuaji wa Kiuchumi
    • Msaada wa Kibinadamu
    • Tabianchi na mazingira
    • Haki za bindamu
    • Masuala ya UM
    • Wanawake
    • Sheria na Kuzuia Uhalifu
    • Afya
    • Utamaduni na Elimu
    • SDGs
    • Wahamiaji na Wakimbizi
  • Kwa kina
    • Habari kwa Picha
    • Mahojiano
    • Makala
    • Neno La Wiki
    • Makala Maalum
    • Videos
    • Siku za UN
  • Katibu Mkuu
    • Msemaji wa Katibu Mkuu
    • Taarifa zote
    • Hotuba muhimu
    • Mikutano na wanahabari
    • Safari za kikazi
  • Vyombo vya Habari
    • Video za Umoja wa Mataifa
    • Picha za Umoja wa Mataifa
    • Matukio ya Mikutanoni
    • Usajili kwa wanahabari
    • Webtv
 

Sajili

Kabrasha la Sauti

Wanawake kama hawa hunyimwa haki zao za kumiliki mali.
UN Women Cape Verde
Wanawake kama hawa hunyimwa haki zao za kumiliki mali.

Baadhi ya watu hunyimwa hazi yao ya kumili ardhi: Ibara17 UDHR70

23 Novemba 2018
Wanawake

Tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa  mwaka huu wa 2018 linatimiza miaka 70. Tamko hilo lina ibara 30 na leo inamulikwa ibara ya 17 inayozungumzia haki ya mtu kumiliki mali yeye mwenyewe au kwa ushirika na mtu mwingine au wengine.

Ibara hii inazingatia ukweli kwamba baadhi ya watu wananyimwa haki hiyo kwa misingi mbalimbali ikiwemo rangi, jinsia, kabila, dini au umri.

Ibara hiyo pia mtu asinyangangwe mali yake bila sheria.

Miongoni mwa mali zinazotajwa ni pamoja na kiwanja au ardhi ikimaanisha kuwa mtu yeyote ana haki ya kumiliki ardhi, ali mradi azingatie sheria. Hata hivyo katika jamii nyingi ikiwemo barani Afrika, umiliki wa ardhi umekuwa na changamoto kubwa hususan kwa wanawake na wasichana. Mfano tu ni nchini Ethiopia ambako ilikuwa ni shida ambapo raia wengi wa kawaida walipoteza mali hususan viwanja  kutokana na  kutokuwa na ushahidi.

Mfano ikiwa wanamiliki viwanja lakini hawana hati ya umiliki ndipo  serikali ikafanya mikakati ya  kuwaondolea adha hiyo kwa kuwapatia hati. Mmoja wa wa wanufaika ni mkulima  Melkam Amogne aliyepambana mpaka alipopatiwa  hati ya umiliki ndipo akapumua,“Na sasa ikiwa mtu yeyote atajaribu kunyanganya ardhi yangu na weza kumshataki”.

 Hilo ni moja wa dhirisho la ibara hiyo ya 17 ya tamko la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa. Jamii zingine huwa zinawabagua watu wa jinsia ya Kike hususan ikiwa wanawake wamepewa talaka au wamesalia wajane. Familia za wanaume hufanya kila juhudi kuwanyang’aya ardhi hiyo licha ya mwanamke huyo kuwa na watoto. Ethiopia pia ndiyo itakuwa mfano mwingine.

Katika kutilia mkazo ibara ya 17 ya tamko la haki za binadamu, pia sehemu nyingine ya ibara hiyo inasema kuwa Mtu asinyanganywe mali yake  bila sheria. Lakini mama mmoja wa watoto watano mwenye umri wa miaka miaka 45 yalimfika mazito. Mmoja wa watoto wake, Mengaw Simachew anaeleza magumu mama yake  aliyopitia kuweza kupata uhakika wa kumiliki mali yake yaani kipande cha ardhi,“Kabla ya hati ya kumiliki kutolewa kulikuwa na mivutano ya mipaka ya ardhi hiyo na watu wakiwa wanachukua  kwa nguvu ardhi ambayo haikuwa yao.”

Naye mjane Nitsu Simachew anasema anafurahi kupata hati inayoonyesha kama ndiye mmilikaji halali wa kipande hicho cha ardhi hivyo haki hutendeka kwenda na ibara ya 17 inayosema kuwa kila mtu ana haki ya kumiliki mali.

 

 

♦ Kupata takwimu za waathirika vitani Ukraine bofya  hapa.
♦ Iwapo ungependa kupokea taarifa kutoka UN News Kiswahili kila wakati zinapochapishwa jisajili  hapa.
♦ Pia unaweza kupakua apu ili kusikiliza matangazo yetu wakati wowote popote ulipo.
♦ Tembelea pia chaneli yetu ya Youtube na pia Soundcloud na Twitter
UDHR70|wanawake|Mali

Taarifa Zihusianazo

Michele Bachelet , Kamishina Mkuu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa , akizungumza na waandishi wa habari 26 Septemba kwenye Makao makuu ya Umoja wa Mataifa New York

Mchango wa wanawake ni bayana katika tamko la haki za binadamu-Bachelet

Watoto kutoka jamii ya wachache wa Yazid wakila cakula.

Kila mtu ana haki ya kufurahia utulivu wa kijamii na kimataifa

Wajibu kwa jamii ni pamoja na mtu kufanya kazi ili aweze kukidhi mahitaji yake na ya familia yake na pia kusaidia maendeleo ya jamii na taifa lake kwa ujumla

Pamoja na kustahili uhuru, kila mtu ana wajibu kwa jamii.

Maktaba

  • Taarifa kwa watangazaji
  • Viunganishi vya Umoja wa Mataifa
  • Angalizo
  • UN Journal
  • Taarifa za Habari
  • Mikutano
  • Maktaba ya Picha na Video
  • Wasiliana nasi

Katibu Mkuu

  • Taarifa zote
  • Safari za kiofisi
  • Kona ya wanahabari
  • Kutoka Twitter ya Katibu Mkuu

Msemaji wa UN

  • Nyaraka zote
  • Muhtasari wa mkutano na wanahabari
  • Maandishi ya mkutano na wanahabari
  • Taarifa kwa wanahabari

Tupate

  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • RSS
  • Mawasiliano
  • Rambaza
  • Washirika wetu kwa sasa
Umoja wa Mataifa
Changia
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • Soundcloud
  • Podcast
  • UN Social Media
  • A-Z Site Index
  • Hakimiliki
  • Maswali ya mara kwa Mara
  • Fraud Alert
  • Privacy Notice
  • Kanuni za matumizi
  • Facebook
  • Twitter
  • YouTube
  • SoundCloud
  • Podcast
  • More Socials