Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ujumuishwaji wa jamii ya asili katika SDGs ndio siri ya mafanikio : Dk Laltaika

Dkt. Elifuraha Laltaika, mtaalamu wa jukwaa la kudumu la watu wa asili la Umoja wa Mataifa akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili
UN News
Dkt. Elifuraha Laltaika, mtaalamu wa jukwaa la kudumu la watu wa asili la Umoja wa Mataifa akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili

Ujumuishwaji wa jamii ya asili katika SDGs ndio siri ya mafanikio : Dk Laltaika

Malengo ya Maendeleo Endelevu

Ili kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDGs, serikali na asasi za kiraia duniani kote zinahimizwa kuzijumuhisha na pia kuzishirikisha jamii za watu wa asili katika mikakati ya kitaifa na kimataifa ya ajenda hiyo ya 2030

Akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili kwa njia ya simu, Dkt. Elifuraha Laltaika ambaye ni mtaalamu wa jukwaa la kudumu la watu wa asili la Umoja wa Mataifa amesema kutozijumuiisha jamii hizo katika mchakato wa kitaifa au kimataifa kunaathiri maendeleo ya siyo tu jamii hizo bali pia taifa na mataifa.

Sauti ya Dkt Laltaika

Na je nini kifanyike ili kufikia malengo ya pamoja?

Sauti ya Dkt Laltaika