Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ugumu wa maisha ulichukua ujana wangu

Picha: UNPA
Isha Sillah, msichana aliyeepuka ndoa za utotoni Sierra Leone. Picha: UM/Video capture

Ugumu wa maisha ulichukua ujana wangu

Haki za binadamu

Ugumu wa maisha unaowakabili wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo  DRC, ni moja ya vichocheo vya wazazi kulazimika kuwaoza watoto wao.

Kutana na Boniface, kijana barubaru  mwenye umri wa miaka 18 kutoka Jimbo la Kalemie, nchini DRC ambaye ghasia kati ya kabila la watwa na waluba zimemlazimu kukimbilia hapa kwenye kambi ya wakimbizi jimboni Tanganyika.

Boniface akiwa na mkewe Anuarite mwenye umri wa miaka 16 anaelezea jinsi ndoa yake ilivyoathiri ujana  wake…..

Sauti ya Boniface

Naye Anuarite anaeleza ugumu wa maisha baada ya shinikizo la kuolewa….

Sauti Ya Anuarite

Wanandoa hawa wanasema awali walidhani njia pekee ya kujikwamua kimaisha ilikuwa kuendana na matakwa ya wazazi wao ya ya kuoana kama anavyosimulia Anuarite….

Sauti ya Anuarite

Boniface naye…..

Sauti ya Boniface

Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini DRC vimesababisha maelfu ya vijana barubaru

nchini humo kukosa fursa ya elimu, afya na ajira  Anuarite na Boniface wanaeleza ndoto zao kabla vita ….

Sauti ya Anuarite

Huku Boniface naye…..

Sauti ya Boniface.

Licha ya kwamba wameoana wakiwa wadogo, Anuarite ana ushauri upi kwa vijana wengine..

Sauti ya Anuarite