Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashirika ya kiraia yako mashinani mchango wao haukwepeki-Bi.Sanou

Picha: UNDP/Kenya_Video capture
Mashirika ya kiraia yanafika mashinani kuliko raia kwa mfano akina mama hawa katika mradi wa kujikwamua wanawake kiuchumi. Picha: UNDP/Kenya_Video capture

Mashirika ya kiraia yako mashinani mchango wao haukwepeki-Bi.Sanou

Malengo ya Maendeleo Endelevu

Mashirika ya kiraia au NGOs yana nafasi kubwa katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDG hivyo serikali ziimarishe uhusiano na mashirika hayo.

 

Selina Cheseren Sanou kutoka shirika la kiraia la ACORD nchini Kenya amesema hayo jijini New York, Marekani alipozungumza na Idhaa hii akieleza kuwa mchango huo unatokana na ukweli kwamba wao ndio wako mashinani.

(Sauti ya Selina Sanou)

Hata hivyo  Bi. Sanou amesema  ingawa ni muhimu kwa serikali na mashirika hayo kufanya kazi pamoja,  wakati mwingine ni  mtihani mkubwa kwa sababu 

(Sauti ya Selina Sanou)

TAGS: ACORD, Selina Sanou, Kenya, SDGs NGOs