Mashirika ya kiraia yako mashinani mchango wao haukwepeki-Bi.Sanou
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Mashirika ya kiraia au NGOs yana nafasi kubwa katika kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu, SDG hivyo serikali ziimarishe uhusiano na mashirika hayo.
Selina Cheseren Sanou kutoka shirika la kiraia la ACORD nchini Kenya amesema hayo jijini New York, Marekani alipozungumza na Idhaa hii akieleza kuwa mchango huo unatokana na ukweli kwamba wao ndio wako mashinani.
(Sauti ya Selina Sanou)
Hata hivyo Bi. Sanou amesema ingawa ni muhimu kwa serikali na mashirika hayo kufanya kazi pamoja, wakati mwingine ni mtihani mkubwa kwa sababu
(Sauti ya Selina Sanou)
TAGS: ACORD, Selina Sanou, Kenya, SDGs NGOs