Mvutano wa China na Marekani waumiza Afrika-UNCTAD
Ukuaji wa Kiuchumi
Msemo ya kwamba wapiganapo mafahali wawili ziumiazo nyasi umedhihirika baada ya mvutano wa kibiashara kati ya Marekani na China kusababisha ongezeko la gharama ya bidhaa na hivyo kuathiri mataifa ya Afrika.