Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vipepeo vyawapaisha kiuchumi wanakijiji wa Amani Tanga.

Vipepeo ni biashara inayo wakwamua wanawake wengi kutoka katika hifadhi ya Amani mkoani Tanga, Tanzania.
World Bank/Curt Carnemark
Vipepeo ni biashara inayo wakwamua wanawake wengi kutoka katika hifadhi ya Amani mkoani Tanga, Tanzania.

Vipepeo vyawapaisha kiuchumi wanakijiji wa Amani Tanga.

Malengo ya Maendeleo Endelevu

Mradi wa vipepeo katika hifadhi ya taifa  ya  Amani mkoani Tanga nchini Tanzania umekuwa mkombozi mkubwa  kiuchumi hususani kwa wanawake wa vijijini.

Katika juhudi za kuhakikisha hakuna anayeachwa nyuma na treni ya maendeleo endelevu yaani SDGs wanawake hao walikata shauri la kutobweteka na kuanza kujishughulisha na biashara hiyo bunifu ambayo sasa imeinua kipato chao na familia zao lakini pia cha jamii na kuupiga kumbo umasikini.

Akizungumza na idhaa ya kiswahili ya Umoja wa Mataifa Mwanaidi Kijazi ambaye ni mhifadhi katika hifadhi ya taifa ya Amani mkoani Tanga , amesema mazingira  mazuri na yenye mvuto katika  hifadhi ya Amani yanatoa fursa nyingi za  kimaendeleo  na ujasiriamali  ukiwemo mradi wa biashara ya vipepeo.

Sauti ya Mwanaidi

 Na je wanawake wanaofanya biasshara hiyo ya vipepeo wanafaidika vipi ?

Sauti ya Mwanaidi

Na wateja wao ni kina nani?

Sauti ya Mwanaidi