Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukatili wa kingono kwenye migogoro ni tatizo sugu na sio kwa wanawake tu:Kamunya

Mama huyu kutoka kambi ya Kassab Kutub Darfur ya kaskazini ahuzunishwa  na visa vya ubakaji katika eneo hilo.
Photo: UNAMID/Albert González Farran
Mama huyu kutoka kambi ya Kassab Kutub Darfur ya kaskazini ahuzunishwa na visa vya ubakaji katika eneo hilo.

Ukatili wa kingono kwenye migogoro ni tatizo sugu na sio kwa wanawake tu:Kamunya

Wanawake

Ukatili wa kingono katika migogoro ya vita ni tatizo lililomea mizizi na sio kwa wanawake peke yao, wanaume na watoto wametumbukizwa pia katika zahma hiyo kama anavyofafanua wakili Ann N. Kamunya raia wa Kenya ambaye sasa huyo Ankara Uturuki akifanya kazi na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR

(SAUTI YA ANN KAMUNYA 1)

 

Dada, mwenye umri wa miaka 15, alichukuliwa na Boko Haram na kupewa mimba ya bint wake baada ya kubakwa alipokuwa ametekwa.
UNICEF/UN0118457/
Dada, mwenye umri wa miaka 15, alichukuliwa na Boko Haram na kupewa mimba ya bint wake baada ya kubakwa alipokuwa ametekwa.

Na nini kifanyike kupunguza zahma hii

(SAUTI YA ANN KAMUNYA 2)