Ukatili wa kingono kwenye migogoro ni tatizo sugu na sio kwa wanawake tu:Kamunya

Mama huyu kutoka kambi ya Kassab Kutub Darfur ya kaskazini ahuzunishwa na visa vya ubakaji katika eneo hilo.
Ukatili wa kingono katika migogoro ya vita ni tatizo lililomea mizizi na sio kwa wanawake peke yao, wanaume na watoto wametumbukizwa pia katika zahma hiyo kama anavyofafanua wakili Ann N. Kamunya raia wa Kenya ambaye sasa huyo Ankara Uturuki akifanya kazi na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR
(SAUTI YA ANN KAMUNYA 1)
Na nini kifanyike kupunguza zahma hii
(SAUTI YA ANN KAMUNYA 2)