Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhamiaji ni suala mtambuka, wabunge walivalia njua: UN

Jude Njomo, mbunge kutoka Kenya mwanachama wa IPU akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN
UN News/Patrick Newman
Jude Njomo, mbunge kutoka Kenya mwanachama wa IPU akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN

Uhamiaji ni suala mtambuka, wabunge walivalia njua: UN

Haki za binadamu

Wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani wanakutana makao makuu ya Umoja wa Mataifa  mjini New York Marekani kubadilisha mawazo ya jinsi ya kukabiliana na suala mtambuka la uhamiaji.  

Miongoni mwa wabunge wanaoishiriki ni mbunge wa jimbo la Kiambu Kenya  Jude Njomo. Anaeleza sababu kadhaa zinazosababisha uhamiaji.

(SAUTI YA JUDE NJOMO)

Mkutano huu unatafuta maoni kutoka kwa mabunge  mbalimbali wanachama wa muungano wa wabunge duniani IPU , yatakayojadiliwa katika kikao cha baraza la Umoja wa Mataifa mwezi ujao, kitakachotoka na  mkakati wa kimataifa  kuhusu uhamiaji. Uhamiaji Afrika  Afrika Mashariki ukoje.

(SAUTI YA JUDE NJOMO)

KAmeongeza kuwa kuna matumaini

(SAUTI YA JUDE NJOMO)