Uhamiaji ni suala mtambuka, wabunge walivalia njua: UN
Haki za binadamu
Wabunge kutoka nchi mbalimbali duniani wanakutana makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York Marekani kubadilisha mawazo ya jinsi ya kukabiliana na suala mtambuka la uhamiaji.
Miongoni mwa wabunge wanaoishiriki ni mbunge wa jimbo la Kiambu Kenya Jude Njomo. Anaeleza sababu kadhaa zinazosababisha uhamiaji.
(SAUTI YA JUDE NJOMO)
Mkutano huu unatafuta maoni kutoka kwa mabunge mbalimbali wanachama wa muungano wa wabunge duniani IPU , yatakayojadiliwa katika kikao cha baraza la Umoja wa Mataifa mwezi ujao, kitakachotoka na mkakati wa kimataifa kuhusu uhamiaji. Uhamiaji Afrika Afrika Mashariki ukoje.
(SAUTI YA JUDE NJOMO)
KAmeongeza kuwa kuna matumaini
(SAUTI YA JUDE NJOMO)