Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jopo laundwa ili kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa: WHO

Mgonjwa anaandaliwa kwa ajili ya matibabu ya saratani katika hospitali huko Kandy, Sri Lanka
Petr Pavlicek/IAEA
Mgonjwa anaandaliwa kwa ajili ya matibabu ya saratani katika hospitali huko Kandy, Sri Lanka

Jopo laundwa ili kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa: WHO

Afya

Shirika la afya duniani-WHO limetangaza kuundwa kwa jopo jipya la ngazi za juu ili kuweza kuchagiza  hatua za kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoambukizwa  NCDs, ambayo yameelezwa kuwa moja ya yaliyo mstari wa mbele kwa vifo vya binadamu. Magonjwa hayo ni kama vile saratani, ugonjwa wa moyo, mapafu na kisukari.