Utawala wa sheria Maldives upo njiapanda
Amani na Usalama
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imelaani kukamatwa kwa majaji wawili wa Mahakama Kuu nchini Maldives ikisema ni ukiukwaji wa utawala wa sheria na uhuru wa mahakama kufanya kazi katika misingi yake.