Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utawala wa sheria Maldives upo njiapanda

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Geneva Uswisi.
UN Photo - Jean-Marc Ferre
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa huko Geneva Uswisi.

Utawala wa sheria Maldives upo njiapanda

Amani na Usalama

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imelaani kukamatwa kwa majaji wawili wa Mahakama Kuu nchini Maldives ikisema ni ukiukwaji wa utawala wa sheria na uhuru wa mahakama kufanya kazi katika misingi yake.