Tuna mikakati thabiti ya kutimiza SDGs:Kenya
Malengo ya Maendeleo Endelevu
Serikali ya Kenya imesema ina mipango thabiti ya kutimiza agenda ya maendeleo endelevu au SDG's ifikapo mwaka 2030, ikiwemo mikakati ya miaka mitano iliyojiwekea kuanzia sasa hadi mwaka 2022. John Kibego na maelezo zaidi.