Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tuna mikakati thabiti ya kutimiza SDGs:Kenya

Wasichana na wavulana kutoka kituo cha uanagenzi wakijifunza kwa vitendo.
UNFPA/Roar Bakke (maktaba)
Wasichana na wavulana kutoka kituo cha uanagenzi wakijifunza kwa vitendo.

Tuna mikakati thabiti ya kutimiza SDGs:Kenya

Malengo ya Maendeleo Endelevu

Serikali ya Kenya imesema ina mipango thabiti ya kutimiza agenda ya maendeleo endelevu au SDG's ifikapo mwaka 2030, ikiwemo mikakati ya miaka mitano iliyojiwekea kuanzia sasa hadi mwaka 2022. John Kibego na maelezo zaidi.