Miili ya walinda amani wa Tanzania waliouawa DRC yawasili Dar es salaam

Milingoti ya bendera za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa ikiwa bila bendera hii leo ikiwa ni kuomboleza mauaji ya askari wa Tanzania waliouawa wakilinda amani chini ya Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Leah Mushi)