Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki- Gidamu

Neno la Wiki- Gidamu

Wiki hii tunaangazia neno "Gidamu" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.

Bwana Sigalla anasema neno hili lina maanza tatu, ungana naye uapte uchambuzi kwa kina.