Neno la Wiki- Gidamu
Wiki hii tunaangazia neno "Gidamu" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.
Bwana Sigalla anasema neno hili lina maanza tatu, ungana naye uapte uchambuzi kwa kina.