Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Albino wamekosa nini hata wanyanyapaliwe na kuuawa?:Nyapinyapi

Albino wamekosa nini hata wanyanyapaliwe na kuuawa?:Nyapinyapi

Watu wenye ulemavu wa ngozi au Albino wamekosa nini hata wakatwe, viungo hata kuuwawa ? anahoji mwanamuziki wa Tanzania Azizi Kimindu Nyapinyapi katika kibao alichokitoa mahsusi kuelimisha jamii dhidi ya ukatili na mauaji ya watu hao.

Kufahamu zaidi kwa nini aliamua kutunga kibao hico na wito wake kwa jamii ungana na Flora Nducha na mwanamuziki huyo katika makala hii.