Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Sanaa yaleta nuru na kujiamini kwa wakimbizi Kakuma

Sanaa yaleta nuru na kujiamini kwa wakimbizi Kakuma

Nchini Kenya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeibuka na mbinu mpya ya kuwezesha wakimbizi kuondokana na tabia ya baadhi ya watu kuwaona wao si binadamu kwa kuwa ni wakimbizi. Mbinu hiyo ilibuniwa na mwanamuziki mashuhuri nchini humo na sasa inaleta siyo tu nuru kwa wakimbizi bali pia kujiamini na kujitambua. je ni nini kinafanyika? Ungana basi na Grace Kaneiya kwenye makala hii.