Viongozi wa dini wana fursa kuhamasisha ukomeshwaji wa nyuklia-Linnet
Miongoni mwa wanaohudhuria mkutano huo ni Linnet Ng’ayu ambaye ni Mratibu wa mitandao kutoka baraza la viongozi wa dini barani Afrika ACRL-RfP lenye makao makuu mjini Nairobi Kenya, ambaye ameiambia idhaa hii katika mahojiano maalum kuwa umuhimu wa kufikiwa kwa mkataba huo ni.
( Sauti Linnet)
Amesema mbinu ya kutumia dini kutimiza lengo hili ni sahihi kwani.
( Sauti Linnett)