Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nilitembea kutwa kucha na wanangu kutoka Sudan Kusini hadi Uganda kunusuru maisha-Sehemu ya 1

Nilitembea kutwa kucha na wanangu kutoka Sudan Kusini hadi Uganda kunusuru maisha-Sehemu ya 1

Kutana na Jade Kide, mama wa watoto wanne, ambaye amehaha kusaka hifadhi na kujikuta akitembea usiku na mchana kutoka SudanKusini kukimbia machafuko.

Amewasili Uganda katika kambi ya wakimbizi ya Kiryandongo, akiwa ametokea jimboni Equatoria Mashariki nchini Sudan Kusini. Anasilimulia kadhia zinazomakabili akikumbuka naman alivyompoteza mwanae na wazazi kufuatia mgogoro nchini mwake.

John Kibego anazungumza naye katika sehemu ya kwanza ya makala hii.