Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KNCCI yanufaisha wanawake wafanyabiashara Kenya

KNCCI yanufaisha wanawake wafanyabiashara Kenya

Chama cha wafanyabiashara na wenye Viwanda nchini Kenya, KNCCI, kimesema kimepatia kipaumbele wanawake upande wa biashara na sasa asilimia 90 ya wanufaika wameweza kuinua jamii zao.

Naibu Mwenyekiti wa chama hicho Rukia Rashid amesema hayo akihojiwa na Idhaa hii kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, mjini New York, Marekani.

Amesema mipango ya usaidizi ni pamoja na kuunganisha wanawake wafanyabiashara kutoka mikoa tofauti na kwamba..

(Sauti ya Rukia)

Hata hivyo amesema licha ya mafanikio, kuna changamoto.

(Sauti ya Rukia)