Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kilimo cha buni chastawisha maisha ya wanawake Uganda.

Kilimo cha buni chastawisha maisha ya wanawake Uganda.

Ujasiriamali ni miongoni mwa mikakati bunifu ya kuwawezesha wanawake kuinuka kiuchumi wakati huu ambapo malengo ya maendeleo endelevu SDGs yanapigia chepuo uwezeshaji wa wanawake katika kila ngazi.

Nchini Uganda, licha ya changamoto kadhaa, Betty ni mfano wa wanawake waliofanikiwa kupitia kilimo cha mibuni. Ungana na John Kibego katika makala ya kumulika mafaniko ya mwanamke huyo.