Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi Kigoma waadhiimisha siku ya wanawake

Wakimbizi Kigoma waadhiimisha siku ya wanawake

Maadhimisho ya siku ya wanawake nchini Tanzania yamefanyika sehemu mbalimbali licha ya kwamba kitaifa yamefanyika mkoani Singida.

Mkoani Kigoma katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu, mvua kubwa iliyonyesha awali haikuwazuai wananchi kujitokeza kuhudhuria maadhimisho hayo yaliyotia fora kwa burudani na ujumbe. Tuungane na Mabamba Mpela Junior