Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Usawa hautakamilika iwapo hautajumuisha wanawake mashinani

Usawa hautakamilika iwapo hautajumuisha wanawake mashinani

Ujumuishwaji wa wanawake mashinani ni dhana isiyokwepeka katika kutimizia dhima ya maadhimisho ya siku ya wanawake mwaka huu ambayo ni wanawake katika ulimwengu wa kazi unaobadilika, inayokwenda sambamba na lengo nambari kumi la maendeleo endelevu yaani SDG's, ambalo linachagiza ulimwengu kupunguza ukosefu wa usawa.

Akihojiwa na Idhaa hii, Dkt. Justine Uvuza wa Shirika la asasi za kiraia Landesa ambalo linapigania haki za wanawake masikini na walio mashinani kumiliki ardhi, akisema..

(Sauti Dkt. Uvuza )