Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bila elimu bure sisi tusingesoma-Wasichana Uganda

Bila elimu bure sisi tusingesoma-Wasichana Uganda

Katika kutimiza lendo namba nne la maendeleo endelevu SDGs, linalotaka uwepo wa usawa katika elimu, Uganda imepiga hatua kwa kuhakikisha elimu bure hatua iliyowezesha wale wasiojiweza kwenda shule.

Ungana na John Kibego ambaye amefuatailia upatikanaji wa elimu nchini humo ambapo pia amezungumza na wanufaika wa mpango huo.