Heri nusu shari kuliko shari kamili-O’Brien/ Clark
Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura bwana Stephen O’Brien amesema katika kukabiliana na tatizo la njaa linalozigubika nchi nne za Sudan kusini , Somalia, Yemen na Nigeria ni bora kuchukua hatua sasa ikiwa nusu shari kuliko shari kamili.
(O’BRIEN CUT)

Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura bwana Stephen O’Brien.(Picha:UM/Rick Barjonas)
Wakizungumza na waandishi wa habari mjini New York kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa hii leo naye mkuu wa shirika la maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP Bi Helen Clark akaongeza.
(SAUTI YA HELEN CLARK)

Mkuu wa shirika la maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP Bi Helen Clark.(Picha:UM/Rick Barjonas)