Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Radio kama chemchemi ya burudani

Radio kama chemchemi ya burudani

Wakati radio inatajwa kuwa chombo muhimu katika baadhi ya mambo ikiwemo burudani katika jamii mara nyingi watu huwazia tu msikilizaji anayepata kuburudika kupitia radio lakini, kwa upande mwingine ni wanamuziki ambao wanategemea radio katika kupitisha ujumbe wao kwa mfumo wa nyimbo. Je radio ina mchango gani kwa wanamuziki hususan katika nchi zinazoendelea?

Basi Ungana na Geoffrey Onditi wa radio washirika Shirika la utangazaji nchini Kenya, KBC