Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki- maneno yanayotumika kama kitenzi

Neno la Wiki- maneno yanayotumika kama kitenzi

Katika neno la wiki Februari 17 tunachambua maneno yanayotumika kama kitenzi, mchambuzi wetu leo ni, Nuhu Zuberi Bakari ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Bwana Nuhu anasema kwamba kuna maneno yanyotumika kwenye lugha ya Kiswahili lakini hayapo ila tu yanatumika kihisi kama njia ya kusisitiza, anatolea matamshi ya baadhi ya maneno na jinsi matamshi yanaonyesha msisitizo