Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Redio, muziki na vijana!

Redio, muziki na vijana!

Muziki na ujumbe! Ndivyo unavyoweza kusema ukiangazia namna muziki unavyotumiwa na vijana katika redio ili kuelimisha umma, juu ya masuala kadhaa ikiwamo afya, ajira na hata ushiriki wa kundi hilo katika siasa.

Kuelekea siku ya redio duniani Februari 13, Rosemary Musumba ameangazia redio katika nchi za kusini mwa jangwa la Sahara na umuhimu wa muziki katika vipindi vya redio hizo za vijana. Ungana naye.