Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nishati ya jua yawezesha ukulima wa umwagiliaji - Wanawake Senegal

Nishati ya jua yawezesha ukulima wa umwagiliaji - Wanawake Senegal

Shirika la mazingira duniani likishirikiana na mfuko wa maendeleo ya kilimo, IFAD, limezindua mradi wa kuboresha kilimo cha umwagiliaji, ambayo umetekelezwa katika takriban robo ya nchi mzima ya Senegal.

Katika makala hii, tunakutana na kikundi cha wanawake kiitwayo "Takku ligguaey de Taiba" ambacho ni moja ya vikundi ambavyo wamepata kunufaika na Mradi huu. Ungana na Amina Hassan..