Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dola tano tu kwa mwaka yaweza kutibu kifafa: WHO

Dola tano tu kwa mwaka yaweza kutibu kifafa: WHO

Ugonjwa wa kifafa unaweza kutibiwa kwa gharama ya dola 5 tu kwa mwaka kwa matumizi ya dawa limesema shirika la afya ulimwenguni WHO.

Kwa mujibu wa WHO, karibu asilimia 70% ya watu wanaotumia dawa hizo kwa muda wa miaka miwili wanaweza kumaliza kifafa.Shrika hilo kupitia mradi wake katika nchi kadhaa limesaidia upatikanaji wa dawa hususani kwa nchi zenye kipato cha kati na zile zinaozendelea

Ungana na Rosemary Musumba katika makala itakayokukutanisha na wahanga wa ugonjwa huo wenye uhusiano na mishipa ya ufahamau.