Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Fursa adimu kuiwakilisha nchi yangu UM nitaikumbuka daima-Manongi

Fursa adimu kuiwakilisha nchi yangu UM nitaikumbuka daima-Manongi

Balozi tuvako Manongi mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa ambaye sasa anaondoka baada ya kustaafu, amesema kupewa jukumu la kuiwakilisha nchi yako kwenye Umoja wa Mataifa ni jambo la kulienzi na kujivunia kwani ni adimu. Akuzungumza na Flora Nducha wa Idhaa hii Balozi Manongi pia amempongeza Katibu Mkuu anayeondoka Ban Ki-moon kwa juhudi zake katika mabadiliko ya tabia nchi na malengo ya maendeleo endelevu SDG’s ungana nao katika mahojiano haya.

(MAHOJIANO NA BALOZI MANONGI)