ICGLR yatia moyo na mwelekeo Sudan Kusini
Katibu mtendaji wa mkutano wa kimataifa wa Maziwa Makuu barani Afrika, ICGLR, Balozi Zachary Muburi-Muita amesema anatiwa moyo na mwelekeo wa serikali ya Sudan Kusini katika kushirikisha pande zote kwenye mustakhbali wa amani nchini humo.
Balozi Muburi-Muita amesema hayo alipohojiwa na Idhaa hii kufuatia ziara yake hivi karibuni huko Sudan Kusini ambapo amesema
(Sauti ya Balozi Muburi-Muita)..