Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Grandi akutana na wakimbizi Niger

Grandi akutana na wakimbizi Niger

Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR, Filippo Grandi akiwa ziarani Niger, alitembelea mkoa wa Diffa, eneo moja ambalo watu zaidi ya 250,000 walipoteza makazi yao kufuatia mashambulizi wa kikundi cha wanamgambo wa Boko Haram.  Ziara ya Niger ni sehemu ya safari ya siku kumi ikiwa ni pamoja na kutembelea nchi za Chad, Cameroon na Nigeria ili kuyamulika mahitaji ya watu zaidi ya milioni 2  Katika ziwa la Chad waliotawanywa na Boko Haram na kutoa wito kwa jumuiya ya Umoja wa Kimataifa kushughulikia masilahi yao.

Kwa undani kuhusu kilichojiri kwenye ziara hiy

o ungana na Joseph Msami..