Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki: FILA

Neno la wiki: FILA

Wiki hii tunaangazia neno "Fila" na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.

Neno Fila ina maana mbili, ya kwanza neno hili hutumika katika msemo kwa maana ya "Ubaya" kwa mfano Lila na Fila haitangamani kumaanisha wema na ubaya havisikilizani, pili, Fila ni kifaa kinachotumiwa kujazia  wino kwenye mashine ya chapa.