Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kujitolea huleta utoshelevu: UM Tanzania

Kujitolea huleta utoshelevu: UM Tanzania

Kuelekea siku ya kimataifa ya kujitolea tarehe tano Disemba, shirika la Umoja wa Mataifa la kujitolea UNV nchini Tanzania linatarajia kuitumai siku hii kufanya kazi za kujitolea katikamjini Dar es Salaam ili kuhamasisha jamii kujitolea kwa ajili ya maendeleo, amani na usaidizi kwa wahitaji.

Katika mahojiano na Afisa habari wa kituo cha Umoja wa Maraifa Tanzania, Stella Vuzo, Afisa Programu wa UNV Joseph Aloo amesema.

( SAUTI ALOO)

Ametaja faida za kujitolea kuwa ni pamoja na utoshelevu wa usaidizi kwa jamii na.

( SAUTI ALOO)