Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bila viwanda hakuna maendeleo endelevu Uganda

Bila viwanda hakuna maendeleo endelevu Uganda

Umoja wa Mataifa unasema maendeleo endelevu barani Afrika yanahitaji viwanda ambavyo vitakuza ajira maradufu katika bara hilo ambalo kwa kipindi cha muongo mmoja uliopita uchumi wake umekua kwa zaidi ya asilimia nne.

Nchini Uganda kama zilizvyopnchi nyingi, umuhimu wa viwanda kwa maendeleo ya taifa hilo hauna mjadala. Ungana na John Kibego anayemulika ajira kupitia viwanda Uganda.