Uharibifu wa mazingira wahatarisha ziwa Albert Uganda
Uhabribifu wa maliasili kama vile maziwa na mito huchangiwa na shughuli kadhaa za kibinadamu ambazo wakati mwingine huhalalishwa kwa sababu mbalimbali ikiwamo kujipatia kipato.
John Kibego kutoka Uganda anangazia athari za mazingira zitokanazo na uchimbaji mchanga kwenye ziwa Albert nchini humo.