Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nawindwa, sina uhuru: Mwanahabari Uganda

Nawindwa, sina uhuru: Mwanahabari Uganda

Shirika la Umoja wa Mataifa la  Elimu Sayansi na Utamaduni, UNESCO linasema kuwa wanahabari takribani 800 wameuawa katika kipindi cha muongo mmoja kote duniani.

Novemba mbili kila mwaka ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukwepaji sheria ya uhalifu dhidi ya waandishi wa habari, mwanahabari mmoja nchini Uganda amesimulia mikasa inayomkabili kwa kuwa ametekeleza wajibu wake.

Ungana na John Kibego katika makala ifuatayo.