Mkimbizi aja na mbinu ya kukabili msongo wa mawazo
Maisha ukimbizini hugubikwa na mambo mengi bila shaka, hofu, athari za kisaikolojia, kutokujua mustakabali, vyote hivi vyaweza kusababisha msongo wa mawazo.
Mkimbizi mmoja nchini Uganda anatumia mbinu mbadala ya kuepuka msongo wa mawazo, na zaidi ya yote huwasaidia wenzako kuhakikisha wanahepa hali hiyo. John Kibego amezungumza naye. Msikilize katika makala hii ya kusisimua.