Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafunzo ya ngono kwa watoto Malawi sasa marufuku

Mafunzo ya ngono kwa watoto Malawi sasa marufuku

Ndoa za utotoni, ni tatizo sugu katika maeneo mbali mbali duniani na huletwa na mila na desturi potofu. Ndoa hizi huwaathiri watoto kimwili, kisaikolojia na hata kimaendeleo, kwani wengi wao hushindwa kumaliza masomo na kuanza shughuli za kutunza familia. Nchini Malawi, harakati za kuharamisha ndoa hizo zinaendelea zikiambatana na kuwan'goa madarakani viongozi wa vijiji wasiozingatia amri. Je ni nani alie mstari wa mbele katika harakati hizi..basi ungana na Brian Lehander kufahamu zaidi katika makala hii

(MAKALA NA BRIAN LEHANDER)