Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabadiliko ya tabianchi yabadili mwelekeo wa ufugaji wa jamii ya wamasai

Mabadiliko ya tabianchi yabadili mwelekeo wa ufugaji wa jamii ya wamasai

Jamii ya wamasai ambao tangu enzi na enzi yajulikana kwa maswala ya ufugaji wa asili, sasa inajumuisha utamaduni na teknolojia ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, miongoni mwa jamii hizo ni ya wamasai wa Longido, Tanzania ambao wanapata elimu kuhusu mabadiliko ya tabianchi kwenda sanjari na ufugaji na kilimo.

Elimu hiyo inajumuisha utabiri wa hali ya hewa, majanga na changamoto zingine za kiasili. Ungana na Flora Nducha kwa undani zaidi katika makala hii.