Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Idadi iongezwe na usawa uweko kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa -Kenya

Idadi iongezwe na usawa uweko kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa -Kenya

Naibu Rais wa Jamhuri ya Kenya Willam Ruto aliyeongoza ujumbe wa nchi yake kwenye mjadala wa wazi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa jamii ya kimataifa inapaswa kusaidia nchi zilizo na wahamiaji wengi. Akihojiwa na Rosemary Musumba wa idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa Bwana Ruto aligusia pia masuala ya usalama na misimamo mikali akisema hatua zichukuliwe ili kuepusha vijana kujitumbukiza kwenye ugaidi na hapa anaanza kwa kueleza juu ya wahamiaji ....

(Mahojiano na Ruto)